Wapinzani watano wa DR Congo katika mechi za hatua ya mwisho za mchujo kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026
Mechi hizo za hatua ya mwisho ya mchujo ambayo itahusisha timu za mabara matano tofauti zimepangwa kuchezwa Machi mwakani ambapo timu hizo sita zitasaka tiketi mbili za kucheza Kombe la Dunia.

Weka comments yako unaonaje hapo Congo anafuzu?
ReplyDelete