Kikosi cha Simba Sc πŸ‡ΉπŸ‡Ώ kitaondoka Tanzania Alfajiri ya Alhamisi Novemba 27 kuelekea Mali πŸ‡²πŸ‡± kwaajili ya mechi ya pili ya Makundi ya CAF CL dhidi ya Stade Malien.


 Kikosi cha Simba Sc πŸ‡ΉπŸ‡Ώ kitaondoka Tanzania Alfajiri ya Alhamisi Novemba 27 kuelekea Mali πŸ‡²πŸ‡± kwaajili ya mechi ya pili ya Makundi ya CAF CL dhidi ya Stade Malien.

✅ Mechi itapigwa Jumapili Novemba 30 Saa 1 usiku kwa saa za Tanzania.

Unamuona Mnyama Akiondoka Na Mabao Mangapi Kwenye Mchezo Huu?

Comments

Popular posts from this blog