Wawakilishi wa tanzania ligi ya mabingwa ya wanawake ukanda wa CECAFA

 

Wawakilishi wa Tanzania ambao pia ndio wawakilishi wa ukanda wa CECAFA katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa upande wa Wanawake klabu ya JKT Tanzania imepangwa kundi B kwenye michuano hiyo wakiwa na Mabingwa watetezi TP Mazembe , ASEC Mimosas pamoja na Gaborone United.


Comments

Popular posts from this blog